"Simu 7 Bora za Bei Nafuu Tanzania 2025 – Zenye Kamera Kali na Betri Inayodumu"

Simu 7 Bora za Bei Nafuu Tanzania 2025 – Zenye Kamera Kali na Betri Inayodumu Je, unatafuta simu ya kisasa lakini huna bajeti kubwa? Usijali! Hapa chini tumekuandalia orodha ya simu 7 bora unazoweza kununua kwa bei nafuu lakini ukapata sifa za kifahari kama kamera nzuri, betri inayodumu, na uwezo wa kutumia apps kama TikTok, WhatsApp, na YouTube bila shida. 1. Infinix Smart 8 – TZS 295,000 RAM: 3GB | ROM: 64GB Kamera: 13MP nyuma, 8MP mbele Betri: 5000mAh Faida: Muonekano mzuri, kasi ya kuridhisha, fingerprint 2. Tecno Pop 8 – TZS 260,000 RAM: 3GB | ROM: 64GB Kamera: 13MP nyuma, AI camera mbele Betri: 5000mAh Faida: Bei nafuu sana kwa sifa zake, ideal kwa wanafunzi 3. Samsung Galaxy A04 – TZS 370,000 RAM: 4GB | ROM: 64GB Kamera: 50MP nyuma, 5MP mbele Betri: 5000mAh Faida: Kamera kali kwa bei hii, brand kubwa yenye uaminifu 4. itel P40 – TZS 250,000 RAM: 4GB (virtual RAM) | ROM: 64GB Kamera: 13MP + AI sensor Betri: 6000mAh Faida: Betri kubwa sana, inafaa kwa safari au matumizi ya muda mrefu 5. Xiaomi Redmi A2+ – TZS 285,000 RAM: 2GB | ROM: 32GB Kamera: 8MP Dual camera Betri: 5000mAh Faida: Simu imara na software nyepesi (Android Go Edition) 6. Realme C30s – TZS 290,000 RAM: 3GB | ROM: 64GB Kamera: 8MP nyuma Betri: 5000mAh Faida: Fingerprint, nyepesi kutumia, bei rafiki 7. Vivo Y02 – TZS 310,000 RAM: 3GB | ROM: 32GB Kamera: 8MP nyuma, 5MP selfie Betri: 5000mAh Faida: Muundo wa kisasa, inafaa kwa matumizi ya kawaida --- Wasiliana Nasi Leo! Simu hizi zote zinapatikana kwa bei nafuu kabisa kupitia Pillad Traders. Vodacom: 0748 661 331 Airtel: 0696 610 746 Njoo ujipatie simu kali kwa bei ya ofa kabla hazijaisha!

Comments

Popular Posts